Suleiman Sultan ย 
8 Followers ยท 2 Following

Joined 12 March 2019


Joined 12 March 2019
4 NOV 2024 AT 14:21

ukienda ukweni kwa mara ya kwanza wakwe wasikuulize swali hili 'Baba unajishuhulisha na nn?? ujue faili lako wanalo zamaaan

-


4 NOV 2024 AT 14:10

sio dhambi kuishi na mtu usiyempenda ila ni dhambi kumnyima anachokitaka usiye mpenda...

-


4 NOV 2024 AT 14:07

hivi kwa nini nyumba nzuri ndio zinakuwa na mlango mkubwa???!!
Elewa swali tafadhali...

-


11 JUN 2022 AT 12:05

Jambo baya zaidi watu wanaweza kufanya ni kutomshukuru Mwenyezi Mungu baada ya yeye kujibu dua zao. Siku zote mshukuru Mwenyezi Mungu bila kujali uko katika hali gani, jihadhari usije ukamsahau Mwenyezi Mungu mambo yanapokwenda vizur. Uwe mwaminifu na ujue kwamba Mwenyezi Mungu anaweza kila kitu๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

-


3 JUN 2022 AT 20:09

mtu akisema anakupenda sio kama hajaona mwengine,ni heshima na thamani amekupa, basi na wewe mpe thamani yake na upendo sio dharau

-


3 JUN 2022 AT 20:06

unapofeli kama utakuwa na akili timamu basi utajifunza
kupitia makosa yako na kisha
utafanya tena kwa namna
nyengine sio kukata
TAMAA

-


3 JUN 2022 AT 20:02

maumivu ya muda mfupi
huwa ni zao la furaha ya
muda mrefu
usichoke kuvumilia

-


3 JUN 2022 AT 19:59

usidanganyike na muonekano wa nje
au yale mazungumzo ya mwanzo
kila mtu huwa mstaarabu siku za mwanzo hata kwa wale wabaya kuwa muangalifu

-


2 JUN 2022 AT 16:56

amini usiamini dada ni mama wapili hapa duniani atakusumbua na kukuonea, lakini hatoruhusu mtu akudhuru, kwani daima anakupenda kimy kimya๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

-


2 JUN 2022 AT 16:45

jitahidi kuongea ukweli
kila unapo nyanyua
ulimi wako kuzungumza lakini chunga maneno yako sababu sio kila ukweli unapaswa kuzungumzwa๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜Š

-


Fetching Suleiman Sultan Quotes