elisha nassoro   (Hekima ni Mwalimu)
235 Followers · 459 Following

elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019


elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019
17 AUG AT 13:10

Usidharau mwanzo mdogo, moja yenye nidhamu leo baada ya miaka inaweza kuwa elfu.

-


8 AUG AT 18:19

The biggest advice I was ever been told to the elders was said ,
Holding the ways of truth and obeying of all your heart and not ever tired & at the end you will be successful

-


24 JUL AT 1:34

Kisu cha nolewa na kuongezewa makali kadhalika na mtu atakiwa kuongeza uwezo wake sana.

-


16 JUL AT 22:11

Hata wazee uondoka na hekima zao, na vijana huzani waweza kuishi Kwa nguvu zao.

-


12 JUL AT 21:50

Kisu cha nolewa na tupa, kadhalika matendo ya mtu yana sukumwa na nia zake.

-


26 JUN AT 23:47

Mjinga anafundishika, ila mpumbavu anajifundisha mwenyewe.

-


10 JUN AT 22:06

Heri mtu aliye ufikia ujuzi wa kweli na heri mtu anaye ishi katika ukamilifu wa uzuri.

-


8 JUN AT 1:42

The real love end up after speaking the truth & not repetition of ideas that are rejected.

-


6 JUN AT 2:37

What's matter is at the end, is not to the middle/first.

-


1 JUN AT 22:05

Mpumbavu ana ona wahitaji ni mzigo kwake, bali mwenye hekima ana ona ni mbegu atakazo zivuna kwa wakati wake.

-


Fetching elisha nassoro Quotes