elisha nassoro   (Hekima ni Mwalimu)
233 Followers · 459 Following

elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019


elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019
10 MAY AT 23:38

Misemo ya wenye hekima iliyo kusanywa pamoja na mwenye busara mmoja ni hazina isiyo isha .

-


10 MAY AT 13:16

Kila mji ufikiwa kwa njia yake , kadhalika kila jambo ufanyika Kwa namna yake.

-


8 MAY AT 0:36

Kama fahari ya jua linapo pambuzuka asubui , ndivyo ilivyo fahari ya kijana anaye tembea kwa busara wakati wa ujana.

-


8 MAY AT 0:01

Dhahabu ya kweli utaipata kwa wachimba madini, kadhalika na kuhusu habari za maisha waulize wazee.

-


5 MAY AT 20:51

mwenye busara uonekana tangu mwanzo, na ata akiwa mbali ana tambulika.

-


4 MAY AT 23:42

Ata mashauri yaweza kutoweka kwa wenye busara, na ata hekima ya weza kupotea Kwa mtu.

-


29 APR AT 20:24

Ni taishi Kwa ajili yangu mwenyewe hadi lini ?

Ulichonipa nikwa ajili yangu mimi na wewe ,

Je, nitawatazamia wengine lini ?

-


20 APR AT 10:09

Tafakari za mtu mbaya umuongoza kutenda mabaya na tafakari za mtu mwema umuongoza kutenda mema.

-


18 APR AT 1:09

Ngazi ina hatua fupi fupi sana , ila ndizo zinazo mfikisha mju juu kadhalika vitu vidogo vidogo vikikusanywa pamoja hakika yake vitakuwa vingi.

-


12 APR AT 0:29

Mwenye busara utazama, kisha ujifunza kwa makosa ya watu wengine, na kuanguka Kwa wengine kwake ni huzuni.

-


Fetching elisha nassoro Quotes