elisha nassoro   (Hekima ni Mwalimu)
234 Followers · 459 Following

elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019


elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019
12 JUL AT 21:50

Kisu cha nolewa na tupa, kadhalika matendo ya mtu yana sukumwa na nia zake.

-


26 JUN AT 23:47

Mjinga anafundishika, ila mpumbavu anajifundisha mwenyewe.

-


10 JUN AT 22:06

Heri mtu aliye ufikia ujuzi wa kweli na heri mtu anaye ishi katika ukamilifu wa uzuri.

-


8 JUN AT 1:42

The real love end up after speaking the truth & not repetition of ideas that are rejected.

-


6 JUN AT 2:37

What's matter is at the end, is not to the middle/first.

-


1 JUN AT 22:05

Mpumbavu ana ona wahitaji ni mzigo kwake, bali mwenye hekima ana ona ni mbegu atakazo zivuna kwa wakati wake.

-


1 JUN AT 0:54

Msingi ulio chimbiwa chini sana ni imara, kadhalika na mtu mwenye maarifa ya kutosha anajua njia iliyo njema.

-


28 MAY AT 16:36

Hekima ni bora kuliko nguvu, kadhalika uaminifu ni bora zaidi kuliko ujuzi.

-


21 MAY AT 22:39

Wata muomba Mungu kwa huzuni na machozi mengi, lakini ata jibu na watafurahi na Kushangilia Kwa machozi ya furaha.

-


21 MAY AT 22:33

Wali muomba Mungu kwa huzuni na machozi mengi, lakini sasa wanashukuru na kushangilia kwa machozi ya furaha.

-


Fetching elisha nassoro Quotes