Kisu cha nolewa na tupa, kadhalika matendo ya mtu yana sukumwa na nia zake.
-
elisha nassoro
(Hekima ni Mwalimu)
234 Followers · 459 Following
elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019
12 JUL AT 21:50
10 JUN AT 22:06
Heri mtu aliye ufikia ujuzi wa kweli na heri mtu anaye ishi katika ukamilifu wa uzuri.
-
8 JUN AT 1:42
The real love end up after speaking the truth & not repetition of ideas that are rejected.
-
1 JUN AT 22:05
Mpumbavu ana ona wahitaji ni mzigo kwake, bali mwenye hekima ana ona ni mbegu atakazo zivuna kwa wakati wake.
-
1 JUN AT 0:54
Msingi ulio chimbiwa chini sana ni imara, kadhalika na mtu mwenye maarifa ya kutosha anajua njia iliyo njema.
-
28 MAY AT 16:36
Hekima ni bora kuliko nguvu, kadhalika uaminifu ni bora zaidi kuliko ujuzi.
-
21 MAY AT 22:39
Wata muomba Mungu kwa huzuni na machozi mengi, lakini ata jibu na watafurahi na Kushangilia Kwa machozi ya furaha.
-
21 MAY AT 22:33
Wali muomba Mungu kwa huzuni na machozi mengi, lakini sasa wanashukuru na kushangilia kwa machozi ya furaha.
-