Usidharau mwanzo mdogo, moja yenye nidhamu leo baada ya miaka inaweza kuwa elfu.
-
elisha nassoro
(Hekima ni Mwalimu)
235 Followers · 459 Following
elisha.nassoro@gmail.com
Joined 8 June 2019
17 AUG AT 13:10
8 AUG AT 18:19
The biggest advice I was ever been told to the elders was said ,
Holding the ways of truth and obeying of all your heart and not ever tired & at the end you will be successful-
24 JUL AT 1:34
Kisu cha nolewa na kuongezewa makali kadhalika na mtu atakiwa kuongeza uwezo wake sana.
-
16 JUL AT 22:11
Hata wazee uondoka na hekima zao, na vijana huzani waweza kuishi Kwa nguvu zao.
-
12 JUL AT 21:50
Kisu cha nolewa na tupa, kadhalika matendo ya mtu yana sukumwa na nia zake.
-
10 JUN AT 22:06
Heri mtu aliye ufikia ujuzi wa kweli na heri mtu anaye ishi katika ukamilifu wa uzuri.
-
8 JUN AT 1:42
The real love end up after speaking the truth & not repetition of ideas that are rejected.
-
1 JUN AT 22:05
Mpumbavu ana ona wahitaji ni mzigo kwake, bali mwenye hekima ana ona ni mbegu atakazo zivuna kwa wakati wake.
-